Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu (pichani) amewasimamisha kazi
kupisha uchunguzi kwa watendaji Wakuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
(NHIF) kwa ubadhirifu wa fedha za mfuko huo kwa Mkoa wa Mara.
Home »Unlabelled »
Saturday, April 23, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment