Yanga imeshinda bao 2-0 dhidi ya timu ya Sagrada ya angola katika mcheze wa shirikisho magoli yamefungwa na Saimon Msuva na Matheo Anthony alioengia kipindi cha pili kwa mkwaju wa mbali mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa leo kwa hiyo Yanga itachezo mchezo wa marudiano huko ngola tarehe18 mwezi huu
Home »Unlabelled » BREKING NEWZZZZZZZ YANGA YAIFUNGA ANGOLA BAO 2-O LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment