Msanii mahiri wa Muziki wa
kizazi kipya, Nasibu Abdul a.k.a Diamond
Platinums akitumbuza vilivyo wakati wa hafla ya kuwatunuku zawadi
wafanyakazi bora wa Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa
Vodacom Tanzania "wakila sahani moja" na nyota wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Flava)Nasibu Abdul a.k.a Diamond Platinums.
Diamond na wacheza shoo wake wakilishambulia jukwaa |
Baadhi ya
wafanyakazi wa Vodacom Tanzania ,wakicheza nyimbo mbalimbali zilizokuwa
zikiimbwa na mwanamuziki mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Nasib Abdul
“Diamaond Platinums”(hayupo pichani) wakati wa hafla ya kuwatunuku
zawadi mbalimbali wafanyakazi bora wa kampuni hiyo mwishoni mwa wiki
jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa
Vodacom Tanzania ,wakicheza nyimbo mbalimbali zilizokuwa zikiimbwa
na mwanamuziki mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Nasib Abdul “Diamaond
Platinums”(hayupo pichani) wakati wa hafla ya kuwatunuku zawadi mbalimbali
wafanyakazi bora wa kampuni hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao( wa tatu toka kushoto) pamoja na
wafanyakazi wenzake wakifurahia moja ya nyimbo za mwanamuziki Nasib
Abdul”Diamaond Platinum’s” alipokuwa akitumbuiza wakati wa hafla ya
kuwatunuku zawadi wafanyakazi bora wa kampuni hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar
es Salaam.
0 comments:
Post a Comment