Home
»Unlabelled
» MAJALIWA AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA UME
MAJALIWA AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA UME
|
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata ufafanuzi wa mikakati
ya uwekezaji kwenye miundombinu ya umeme wa gesi asilia na jua kutoka kwa
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya KOYO ya Japan, Bw. Norio Shoji wakati
alipokutana na ujembe wa kampuni hiyo ofisini kwake jijini Dar es salaam
May 9, 2016. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
|
|
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Viongozi wa
Kampuni ya Japan ya KOYO na kampuni ya Kitanzania ya SSF Limited ambazo
kwa pamoja zimekusudia kushirikiana ili kuwekeza kwenye miundombinu
ya umeme wa gesi asilia na jua nchini. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa
Waziri Mkuu jijini Dar es salaam May 9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
|
|
4798 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana
na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya KOYO ya Japan, Bw. Norio
Shoji baada ya kukutana na Mtendaji huyo na ujumbe wake ofisini
kwake jijini Dar es salaam May 9, 2016. Kampuni hiyo ikishirikiana na Kampuni
ya Kitanzania ya SSF Limited inakusudia kuwekeza kwenye miundombinu ya
umeme wa gesi asilia na jua nchini. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
|
|
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na
viongozi wa Kampuni ya Japan ya KOYO na kampuni ya Kitanzania ya SSF
Limited ambazo kwa pamoja zimekusudia kushirikiana ili kuwekeza
kwenye miundombinu ya umeme wa gesi asilia na jua nchini. Waziri Mkuu alifanya
mazungumzo na viongozi hao ofisini kwake jijini Dar es salaam May
9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
|
0 comments:
Post a Comment