Watoa huduma ya kwanza wakiwa wamembeba
marehemu Patrick Eleng, baada ya kudondoka uwanjani wakati wa pambano
la soka baina ya timu yake Dinamo Bucharest na Viitorul Constanta, usiku wa kuamkia leo Mei 7, 2016 mjini Bucharest Romania
NA K-VIS MEDIA Na
Mashirika ya Habari
Msemaji huyo alisema, sababu hasa za
kifo chake hazikufahamika
Mchezo huo baina ya Dinamo Bucharest
na Viitorul Constanta ulikuwa sare ya mabao 3-3 wakati mchezaji huyo anadondoka
uwanjani kiasi cha dakika ya 69.
Ekeng mechezea timu ya taifa ya
Cameroon mara mbili, mwaka 2015 kwenye michuano ya kombe la mataifa ya Afrika,
timu ya Swiss Club Lausanne, timu ya Hispania ya Cordoba nay a Ufaransa Le
Mans.
Marehemu ameacha mke na motto wa kike
Patrick Ekeng enzi za uhai wake wakati akichezea klabu ya Ufaransa
0 comments:
Post a Comment