Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa mkoa wa
Morogoro wakati aliposimama kwa muda mfupi mjini hapo akiwa njiani
kuelekea Dodoma akitoka Dar es salaam May 18, 2016. Wapili kushoto ni
Mkuu wa mkoa huo, Dk. Stephene Kebwe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment