klabu ya Yanga leo imeifunga timu ya stand ya united ya shinyanga baada ya kuifunga bao 3-1 donald Ngoma ameifungia timu yake mabao 2 katika kipindi cha kwanza hamisi Tambwe amefunga bao la tatu katika kipindi cha pili na mchezaji wa stand united Elias Maguli akaifungia bao la machozi kwa njia ya penalt
Home »Unlabelled » YANGA YAENDELEZA UBABE KWA BAO 3-1
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment