|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na katibu Mkuu Wizara ya fedha na Mipango Dkt Servacius
Likwelile alipowasili kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya benki kuu ya
Tanzania kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam leo Juni 22, 2016 | | | |
|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akisimama kwa ukakamavu wakati wimbo wa Taifa ukipigwa akiwa na Mkuu
Wizara ya fedha na Mipango Dkt Servacius Likwelile, Gavana wa Benki Kuu
ya Tanzania, Profesa Benno Ndullu, na Mkuu wa Mkoa wa Dar e3s salaam Mhe
Paul Makonda kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya benki kuu ya Tanzania
kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam leo Juni 22, 2016 |
|
:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akibofya kitufe kuashiria uzi8nduzi rasmi wa maadhimisho ya miaka 50 ya
benki kuu ya Tanzania kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam leo Juni 22, 2016 |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akizindua sarafu maalumu ya shilingi 50,000/- kwenye maadhimisho ya
miaka 50 ya benki kuu ya Tanzania kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es
salaam leo Juni 22, 2016
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akizindua sarafu maalumu ya shilingi 50,000/- kwenye maadhimisho ya
miaka 50 ya benki kuu ya Tanzania kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es
salaam leo Juni 22, 2016 |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akizindua sarafu maalumu ya shilingi 50,000/- kwenye maadhimisho ya
miaka 50 ya benki kuu ya Tanzania kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es
salaam leo Juni 22, 2016 |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akiwa na Bodi ya wkurugenzi wa BOT kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya
benki kuu ya Tanzania kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam leo Juni
22, 2016 |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akiwa na Bodi ya wkurugenzi wa BOT kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya
benki kuu ya Tanzania kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam leo Juni
22, 2016 |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akiwa na Bodi ya wkurugenzi wa BOT kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya
benki kuu ya Tanzania kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam leo Juni
22, 2016 |
|
: Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akiagana na Balozo wa China nchini Dkt Lu Younqing baada ya kuwa na
mazungumzo na aliyekuwa Makamu wa Rais na Mchumi Mkuu wa Benki ya Dunia
Profesa Justin Yifu Lin aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo
Juni 22, 2016. Kushoto ni Katibu Mkuu Wizarta ya Viwanda na Biashara Dkt. Adelhem James Meru na Kulia ni Mkurugenzi Idara ya Asia katika Wizara ya Mambo ya Nje Bw. Mbelwa kairuki. | |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph
Magufuli akiwa katima mazungumzo na aliyekuwa Makamu wa Rais na Mchumi
Mkuu wa Benki ya Dunia Profesa Justin Yifu Lin aliyemtembelea Ikulu
jijini Dar es salaam leo Juni 22, 2016. Kushoto ni Balozi wa China
nchini Dkt. Dkt. LU Younqing,
|
|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akiagana na Balozo wa China nchini Dkt Lu Younqing baada ya kuwa na
mazungumzo na aliyekuwa Makamu wa Rais na Mchumi Mkuu wa Benki ya Dunia
Profesa Justin Yifu Lin aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo
Juni 22, 2016. Kushoto ni Katibu Mkuu Wizarta ya Viwanda na Biashara Dkt. Adelhem James Meru na Kulia ni Mkurugenzi Idara ya Asia katika Wizara ya Mambo ya Nje Bw. Mbelwa kairuki.
|
0 comments:
Post a Comment