|
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya
Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi baada ya kuwasili kwenye ukumbi wa
Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Juni 26, 2016 kuhitimisha
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'an Tukufu ya kimataifa kwenye ukumbi wa
Diamond Jubilee jijini Dar es slaam . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
|
|
Baadhi ya Waislamu waliokudhuria katika hitimisho la
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'an Tukufu ya Kimataifa wakimsikiliza Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohitimisha mashindano hayo kwenye
ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Juni 26, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu) |
|
Baadhi ya Waislamu waliokudhuria katika hitimisho la
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'an Tukufu ya Kimataifa wakimsikiliza Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohitimisha mashindano hayo kwenye
ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Juni 26, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu) |
|
Baadhi ya Waislamu waliokudhuria katika hitimisho la
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'an Tukufu ya Kimataifa wakimsikiliza Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohitimisha mashindano hayo kwenye
ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Juni 26, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu) |
|
Baadhi ya Waislamu waliokudhuria katika hitimisho la
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'an Tukufu ya Kimataifa wakimsikiliza Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohitimisha mashindano hayo kwenye
ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Juni 26, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu) |
|
Baadhi ya Waislamu waliokudhuria katika hitimisho la
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'an Tukufu ya Kimataifa wakimsikiliza Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohitimisha mashindano hayo kwenye
ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Juni 26, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu) |
|
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mufti wa Tanzania,
Sheikh Abubakary Zubery bin Ally baada ya kuwasili kwenye ukumbi wa
Diamond Jubilee jijini Dar es salaam kuhitimisha Mashindano ya Kuhifadhi
Qur'an Tukufu ya Kimataifa Juni 26, 2016. Katikati ni Sheikh wa Mkoa wa
Dar es salaam, Alhadi Mussa Salum. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
|
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipohitimisha Mashindano ya
Kuhifadhi Qur'an Tukufu ya Kimataifa kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee
jijini Dar es salaam Juni 26, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
|
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na watoto wadogo kuliko wote
walioshiriki katika Mashindano ya Kuhifadhi Qur'an Tukufu ya Kimataifa
kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Juni 26,
2016.Watoto hao ni Abuzar Kholidi wa Tajikistan (Kulia) na Ahmad
Abdullah Al-Azhar wa wa Bangladesh. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
|
|
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na watoto wadogo kuliko wote
walioshiriki katika Mashindano ya Kuhifadhi Qur'an Tukufu ya Kimataifa
kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Juni 26,
2016.Watoto hao ni Abuzar Kholidi wa Tajikistan (Kulia) na Ahmad
Abdullah Al-Azhar wa wa Bangladesh. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
|
|
3222
Waziri Mkuu, Kassim Maajliwa akiagana na baadhi ya waumini wa Kiislamu
walioshiriki katika hitimisho la Mashindano ya Kuhufadhi Qur'an Tukufu
ya Kimataifa kwenye ukumbi wa wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
baada ya kuhitimisha mashindano hayo Juni 26, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
|
0 comments:
Post a Comment