Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu
akitoa maelekezo kwa wasimamizi wa kituo kipya cha kupokelea simu za dharura
(CallCentre) wakati alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi
wa kituo hicho ambacho kitazinduliwa hivi karibuni ikiwa ni hatua mojawapo ya
utekelezaji wa Mpango wa Kuboresha usalama wa Jamii, unaotekelezwa na Jeshi la
Polisi kwakushirikiana na Ofisi ya Rais, ufuatiliaji wa utekelezaji wa
miradi(PDB) katika mkoa wa Kipolisi Kinondoni ambapo kupitia kituo hicho
wananchi wataweza kuripoti matukio na kupokelewa mapema tofauti na ilivyo hivi
sasa.
(PICHA NA FRANK GEOFRAY-JESHI LA POLISI)
Askari Polisi wakiwa katika mafunzo maalumu ya kupokea simu katika kituo
kipya cha kupokelea simu za dharura (CallCentre) ambacho kitazinduliwa hivi
karibuni ikiwa ni hatua mojawapo ya utekelezaji wa Mpango wa
Kuboresha usalama wa Jamii, unaotekelezwa na Jeshi la Polisi kwakushirikiana na
Ofisi ya Rais, ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi(PDB) katika mkoa wa
Kipolisi Kinondoni ambapo kupitia kituo hicho wananchi wataweza
kuripoti matukio na kupokelewa mapema tofauti na ilivyo hivi sasa
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akitoa maelekezo kwa
wasimamizi wa kituo kipya cha kupokelea simu za dharura (CallCentre) wakati
alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho
ambacho kitazinduliwa hivi karibuni ikiwa ni hatua mojawapo ya
utekelezaji wa Mpango wa Kuboresha usalama wa Jamii, unaotekelezwa na Jeshi la
Polisi kwakushirikiana na Ofisi ya Rais, ufuatiliaji wa utekelezaji wa
miradi(PDB) katika mkoa wa Kipolisi Kinondoni ambapo kupitia kituo hicho
wananchi wataweza kuripoti matukio na kupokelewa mapema tofauti na ilivyo hivi
sasa
0 comments:
Post a Comment