Thursday, June 16, 2016

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dr. Charles Kimei (kulia),akisaini mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya MGen Charles Sumbwe wa kuweza kufidia asilimia ishirini ya mkopo ambayo mteja wa benki hiyo atakopa kwa ajili ya kununua nyumba juzi jijini Dar es Salaam












Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu