Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Tulia Ackson, (kushoto), akimbeba motto aliyepewa jina lake (Tulia), wakati
alipofika hospitalini kumpongeza mama mzazi wa motto huyo, Bi. Mariam Abdallah
Ulege, mke wa mbunge wa Mkuranga Mh. Abdallah Ulehe. Hatua ya Dkt. Ackson
inafuatia maelezo ya mbunge huyo aliyoyatoa bungeni mjini Dodoma akimshukuru na
kumpongeza mkewe kwa kumzaa motto huyo wa kike na kumsifia kuwa mkewe hakukatab
tama licha ya kujifungua mara mbili watoto lakini kila motto alipofikia umri wa
miezi 9 alifariki dunia.
Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulege
(kulia), akimtambulisha Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson (wapili kulia),
kwa viongozi wa jimbo la Mkuranga, wakati alipofika Hospitali ya Taifa
Muhimbili, kumpongeza mke wa mbunge huyo Bi. Mariam, kwa kujifungua
mtoto wa kike aliyepewa jina la Tulia
Naibu
Spika Dkt. Tulia Ackson akiwa amembeba mtoto wa mbunge wa Mkuranga aitwae
Tulia Abdallah Ulega katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es
Salaam
Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson akielekea wodini kumuona mtoto Tulia
Naibu Spika akimkabidhi zawadi za mtoto Tulia, mhudunu wa afya wa Hospitali ya Taifa Muhimbili
Naibu Spika akizunguzma na waandishi wa habari mara baada ya kumpongeza mzazi
Naibu Spika akipokewa na mbunge Ulege
0 comments:
Post a Comment