Thursday, July 14, 2016

TIMU YA MEDEAMA KUTOKA GHANA YAWASILI JIJINI DAR ES SALAAM



   Baadhi ya wachezaji wa timu ya Medeama ya Ghana wakiwa wamewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa, Julius Nyerere Dar es Salaam  kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shilikisho Afrika CAF dhidi ya Yanga Mchezo unao tarajiwa kuchezwa keshokutwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam huku kiingilio kikiwa ni 3,000 na 10,000. timu ya Yanga imeshusha viingilio hivyo kwa lengo la kufanya mashabiki wengi wahudhurie mchezo huo. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)


Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu