div cl
Ili kupambana na changamoto za ajira Nchini kama kijana hususani mwanafunzi wa elimu ya juu, unaitaji mbinu mbadala za kujikwamua kimaisha.
#CampusVybez ya #TimeFm @timesfmtz @sandytemu @djj_one @ inakukutanisha wewe kijana na Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu kazi ajira na vijana Antony Mavunde, kuzungumzia mbinu za kujikwamua kwenye ajira @anthonymavunde
Jumamosi hii Protea Hotel, saa mbili kamili asubuhi.
Home »Unlabelled » ELIMU NI MUHIMILI WA TAIFA', UNGANA NA CAMPUS VYBE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment