Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Makamu wa Rais, Samia Suluhu
na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakiimba wimbo wa CCM katika kikao cha
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kilichofanyika mjini Dodoma Julai 21,
2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete akifungua Mkutano wa Halmashauri Kuu ya taifa ya CCM mjini Dodoma Julai 21, 2016. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mtarajiwa, Rais John Pombe Magufuli na Wapili kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Rais wa Zanzibar Dkt, Ali Mohamed Shein . Kulia ni Makamu Mwenye kiti wa CCM, Bara, Philip Mangula na wapili kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
7221
Mwenyekiti wa CCM Mtarajiwa, Rais John Pombe Magufuli akiteta na
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed
Shein katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM uliofanyika
mjini Dodoma Julai 21, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete akifungua Mkutano wa Halmashauri Kuu ya taifa ya CCM mjini Dodoma Julai 21, 2016. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mtarajiwa, Rais John Pombe Magufuli na Wapili kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Rais wa Zanzibar Dkt, Ali Mohamed Shein . Kulia ni Makamu Mwenye kiti wa CCM, Bara, Philip Mangula na wapili kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment