Home
»Unlabelled
» MISS CHANGOMBE KUFANYIKA LEO IJUMAA
MISS CHANGOMBE KUFANYIKA LEO IJUMAA
Na Peter Mwenda
WAREMBO
15 wanaingia kilingeni kumtafuta mrembo wa Chang/ombe Miss Chang'ombe
katika mashindano yanayotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa
yatakayofanyika ukumbi wa TCC Sigara.
Mratibu wa Mashindano
hayo, Gervas Sinkala alisema jana kuwa maandalizi wa mashindano hayo
yamekamilika na warembo wote wamejiandaa vya kutosha kuwani taji hilo.
Alisema
mrembo watakaowania taji hilo ni Anita Medard, Prisca Sarakikya, Diana
Joseph, Leah Hamad, Zuhura mohamed,Shani Mshamu, Hadija Masoud, Zahara
Msangi na Devotha Benard.
Wengine ni Nancy Mushi, Irene
Bega, Sharifa Said, Jesca Nassari, na Sabrina Ramadhani ambao washindi
watatu wa kwanza watazawadiwa zawadi nono na kupewa nafasi ya kusoma
kozi katika chuo cha DATASTAR Training .
Alisaema mashindano hayo yatafuatiwa na burudani ya muziki kutoka katika bendi ambayo alisema itatambulkishwa kumbini hapo
mwisho
0 comments:
Post a Comment