Ndugu Mhariri napenda kukutaarifu kuwa kesho tarehe 11 Julai 2016 waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na ichezo Mhe. Nape Moses Nnauye atakuwa
mgeni rasmi katika hafla ya wuwezeshaji wa wasanii Afrika Mashariki
itakayoanza saa nne kamili asubuhi katika ukumbi wa British Council.
unaombwa kushiriki kwa kuleta mwandishi na mpiga picha. asante
tunashukuru kwa ushirikiano wako MAELEZO
Home »Unlabelled » Nape mgeni rasmi halfa ya uwezeshaji wasanii Afrika Mashariki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment