Home
»Unlabelled
» mbio za magari
mbio za magari
|
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akipokea zawadi ya maua mara baada ya kuwasili katika viwanja vya
Hotel ya Southern Sun Jijini Dar es Salaam kufungua mashindano ya magari Afrika
Mashariki (East African Classic Safari Rally) yanayofanyika kuanzia Julai 8
mpaka 10 mwaka huu.
|
|
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akifurahi jambo pamoja na Rais wa Automobile Association of
Tanzania Bw. Nizar Jivani(Kulia), Kaimu Katibu Mkuu Baraza la Michezo la Taifa(BMT)
Bw. Mohamed Kiganja (wa tatu kulia) wakati wa ufunguzi wa mashindano ya magari Afrika
Mashariki (East African Classic Safari Rally) yanayofanyika kuanzia Julai 8
mpaka 10 mwaka huu.
|
|
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akitambulishwa kwa baadhi ya madereva wa mashindano ya magari Afrika
Mashariki (East African Classic Safari Rally) na Rais wa Automobile Association
of Tanzania Bw. Nizar Jivani (Kulia) mashindano hayo yanayofanyika kuanzia
Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
|
|
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye akijadiliana jambo na Rais wa Automobile Association of Tanzania
Bw. Nizar Jivani (Kulia) wakati alipowasili katika ufunguzi wa mashindano ya
magari Afrika Mashariki (East African Classic Safari Rally) yanayofanyika
kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
<!--[if gte mso 9]>
<
... |
0 comments:
Post a Comment