Saturday, July 9, 2016

mbio za magari



Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akipokea zawadi ya maua mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Hotel ya Southern Sun Jijini Dar es Salaam kufungua mashindano ya magari Afrika Mashariki (East African Classic Safari Rally) yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akifurahi jambo pamoja na Rais wa Automobile Association of Tanzania Bw. Nizar Jivani(Kulia), Kaimu Katibu Mkuu Baraza la Michezo la Taifa(BMT) Bw. Mohamed Kiganja (wa tatu kulia) wakati wa ufunguzi wa mashindano ya magari Afrika Mashariki (East African Classic Safari Rally) yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akitambulishwa kwa baadhi ya madereva wa mashindano ya magari Afrika Mashariki (East African Classic Safari Rally) na Rais wa Automobile Association of Tanzania Bw. Nizar Jivani (Kulia) mashindano hayo yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akijadiliana jambo na Rais wa Automobile Association of Tanzania Bw. Nizar Jivani (Kulia) wakati alipowasili katika ufunguzi wa mashindano ya magari Afrika Mashariki (East African Classic Safari Rally) yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
<!--[if gte mso 9]> < ...
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu