Wednesday, July 27, 2016


Waziri Mkuu, Kassim Majjaliwa akizungumza na wazee, wafanyabiashara ,  viongozi wa dini na wanachi wa Dodoma kuhusu mikakati ya seriali ya kuhamia Dodoma kwenye ukumbi wa Hazina mjini Dodoma Julai 26, 2016. Waziri mkuu alitumia fursa hiyo kuwaandaa “kisaikolojia” wananchiwa Dodoma kwa kuwaeleza bayana, wachangamkie fursa kwa kujenga miundombinu itakayohimili kuipokea serikali na wageni mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali. Aliitaja miundombinu hiyo ikiwa ni pamoja na kujenga mahoteli makubwa ya kitalii, nyumba za kutosha za kulala wageni na huduma mbalimbali. Wengine kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Uledi Mussa, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)


 Baadhi ya wakazi wa Dodoma, wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha y pamoja na wazee wa Dodoma baada ya kuzungumza na wazee, viongozi wa dini, wafanyabiashara na wananchi wa Dodoma  kwenye ukumbi wa Hazina mjini Dodoma
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu