Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua duka la dawa la MSD kwenye hospitali ya
Wilaya ya Ruangwa akiwa katka ziara ya jimbo lake la uchaguzi Julai 16,
2016.Kushoto kwake ni mkewe Mary na watano kulia ni Mkuu wa Mkoa wa
Lindi, Godfrey Zambi. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Lindi, Ali Mtopa
nakushoto kwa Waziri Mkuu ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
|
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kuzindua duka la dawa la MSD
kwenye hospitali ya wilaya ya Ruangwa akiwa katika ziara ya jimbo lake la
uchaguzi Julai 16, 2016
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea duka la duka la dawa la MSD baada ya
kulizindua kwenye hospitali ya wilaya ya Ruangwa Julai 16, 2016
0 comments:
Post a Comment