Msanii, Ally Salehe 'Ali Kiba'
akishambulia jukwaa wakati akitumbuiza kwenye tamasha la kutimiza miaka
Miwili ya Chaneli ya Startimes Swahili tokea kuanzishwa Kwake. Tamasha
hilo lililopewa jina la Serebuka Festival lililofanyika katika Viwanja
vya Posta Kijitonyama jana ambapo lilidhaminiwa na Kampuni ya Huawei
Tanzania.
Msanii, Snura Mushi, akitumbuiza kwenye tamasha hilo.
Msanii, Juma Kassim 'Juma Nature, akitumbuiza kwenye
tamasha hilo.
Msanii Stamina akipagawisha kwenye tamasha hilo
0 comments:
Post a Comment