Waziri Mkuu, Kassim Maajliwa akizungumza na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia akiwakilisha nchi za Tanzania, Burundi, Malawi
na Somalia, Bi. Bella Bird,
Ofisini kwake jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri Mkuu, akimkaribishi Bi. Bird
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa
Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Tercius Ngalekumtwa kabla ya
mazungumzo yao Ofisini kwake jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Baraza la Maaskofu
Tanzania (TEC), Askofu Tercius Ngalekumtwa (kushoto kwake), Askofu
Renatus Nkwande wa Jimbo Katoliki la Bunda (wapili kulia) na katibu Mkuu
wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Padri Raymond Saba (kulia), Ofisini kwake
jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Askofu wa Jimbo
Katoliki la Bunda, Renatus Nkwande (katikati) na Mwenyekiti wa Baraza la
Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Tercius Ngalekumtwa kabla ya mazungumzo yao ,
Ofisini kwake jijini Dar es alam Agosti 18, 2016
0 comments:
Post a Comment