Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein, akimvalisha medali Hassan Aswahi kutoka skuli ya Paje akiwa
mshindi wa tatu katika mbio maalum za Vijiti(relay) mita 100x4 wakati wa kilele
cha maadhimisho ya miaka 52 ya Elimu bila malipo leo ,katika uwanja wa Amaan
Studium Mjini Unguja Septemba 23, 2016. (PICHA NA IKULU YA ZANZIBAR)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein, akimkabidhi Kikombe Nd, Abdalla Makame Makame Afisa Elimu na
Mfunzo ya Amali Mkoa wa Kusini Unguja wakiwa washindi kiujumla wakati wa
kilele cha maadhimisho hayo.
Mbio za magunia kwa watotowa chekechea (maandalizi)
Watoto wa Maandalizi wakiwa katika mashindano ya Riadha ya mbiofupi wakati wa
sherehe za maadhimisho ya miaka 52 ya Elimu bila malipo katika Uwanja wa Amaan
Watoto wakicheza Ngoma aina ya Bomu
Rais akihutubia wakati wa sherehe hizo
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe, Riziki Pembe Juma akitoa slamu
zake na kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,kuzungumza na Walimu pamoja na Wanafunzi katika
maadhimisho ya miaka 52 ya Elimu Bila malipo, sherehe zilizofanyika leo katika
uwanja wa Amaan
Umati wa watu waliohudhuria sherehe hizo
0 comments:
Post a Comment