Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiweka shada la maua kaburini na kutoa heshima zake alipokwenda kutoa mkono wa
pole nyumbani kwa Rais wa awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi Migombani Zanzibar mjini leo
Septemba 3, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
na ujumbe wake wakishiriki dua alipokwenda kutoa mkono wa pole nyumbani kwa
Rais wa awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu
Mzee Aboud Jumbe Mwinyi nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini leo Septemba 3,
2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka sahihi kitabu
cha maombolezo alipokwenda kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Rais wa
awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Aboud Jumbe
Mwinyi nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini leo Septemba 3, 2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitambulishwa kwa Bw.
Mustapha Aboud Jumbe na Rajabu Aboud Jumbe alipokwenda kutoa mkono wa pole kwa
familia ya Rais wa awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini
leo Septemba 3, 2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitambulishwa kwa Bw.
Mustapha Aboud Jumbe na Rajabu Aboud Jumbe alipokwenda kutoa mkono wa pole kwa
familia ya Rais wa awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini
leo Septemba 3, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akielekezwa jambo
na Rajabu Aboud Jumbe alipokwenda kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Rais
wa awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Aboud
Jumbe Mwinyi nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini leo Septemba 3, 2016. Nyuma
yao ni Mama Janeth Magufuli na wanafamilia wa Mzee Jumbe
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimu wanafamilia
alipokwenda kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Rais wa awamu ya Pili
ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi
nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini leo Septemba 3, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiaga baada ya kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Rais wa awamu ya
Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi
nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini leo Septemba 3, 2016
(PICHA NA IKULU)
0 comments:
Post a Comment