Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akihutubia mkutano wa hadhara kwenye
viwanja vya Kibandamaiti kisiwani Unguja, Zanzibar Septemba 3, 2016
wakati akiwa katika ziara ya kuwashukuru wananchi wa visiwani kwa
kuichagua CCM kuongoza serikali zoyte mbili. (PICHA NA IKULU YA
ZANZIBAR)
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli
akisalimia na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe,Jecha salim
Jecha wakati wa katika mkutano maalum wa kuwashukuru wananchi uliofanyika
leo katika uwanja wa Kibandamaiti Mjini Unguja wa kuwashukuru
Wananchi wa Mikoa mitatu(3)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein akisalimia na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe,Jecha
salim Jecha wakati wa katika mkutano maalum wa kuwashukuru wananchi
uliofanyika leo katika uwanja wa Kibandamaiti Mjini Unguja wa
kuwashukuru Wananchi wa Mikoa mitatu(3) (katikati)Rais wa Jamhuri wa Muungano
wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein akiwasalimia wananchi wa Mikoa mitatu ya Unguja wakati akimkaribisha
Dkt.John Magufuli katika mkutano wa kuwashukuru wananchi wa mikoa mitatu ya
Unguja katika uwanja wa kibandamaiti leo
Wananchi wakimshangilia Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John
Pombe Magufuli wakati alipofika katika uwanja wa Kibandamaiti
Mjini Unguja kuzungumza na wananchi hao katika mkutano maalum wa kuwashukuru
wananchi wa Mikoa mitatu(3) ya Unguja
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanznia Dkt.John Pombe Magufuli
akiwasalimia wananchi wakati wa alipofika katika uwanja wa Kibandamaiti Mjini
Unguja katika mkutano maalum wa kuwashukuru wananchi wa Mikoa mitatu(3) ya
Unguja
0 comments:
Post a Comment