Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka kwenye Msikiti Mkuu wa Mafia bada
ya kushiriki sala ya Ijumaa akiwa katika siku ya kwanza na ziara ya
mkoa wa Pwani Septemba 23, 2016. (PICHA
NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika sala ya Ijumaa kwenye
Msikiti Mkuu wa Mafia akiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa wa Pwani
Septemba 23, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa
Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa
ndege wa Mafia kwa ziara ya kikazi wilayani humo Septemba 23, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa mkoa wa Pwani
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mafia kwa ziara ya kikazi
Septemba 23, 2016
0 comments:
Post a Comment