Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akihutubia mbele ya Kiongozi
wa Jumuiya ya
Mabohora
Duniani, Dk Seydna Mufaddal
Saifuddin kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es salaam ambako
alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za
Mabohora kuadhimisha Mwaka Mpya wa Kiislamu wa 1438 leo Oktoba 8,
2016
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akisalimiana na Kiongozi
wa Jumuiya ya
Mabohora Duniani, Dk Seydna
Mufaddal Saifuddin mara alipowasili kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga
jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akimuaga Kiongozi
wa Jumuiya ya
Mabohora Duniani, Dk
Seydna Mufaddal Saifuddin kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es
salaam ambako
alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za
Mabohora kuadhimisha Mwaka Mpya wa Kiislamu wa 1438 leo Oktoba 8,
2016
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akisalimiana na Kiongozi
wa Jumuiya ya
Mabohora Duniani, Dk Seydna
Mufaddal Saifuddin mara alipowasili kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga
jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akiagana na
waumini kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es salaam
ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora kuadhimisha
Mwaka Mpya wa Kiislamu wa 1438 leo Oktoba 8, 2016
0 comments:
Post a Comment