Wednesday, October 26, 2016

KAMANDA WA KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM AKIONGEA NA WAANDISHI

Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaam kamishna Simon Siro  akiwaeleza wandishi wa habari leo ofisini kwake akitoa mambo mbalimbali  kuhusu jeshi la polisi jinsi lilivyofanikiwa kukamata  maswala mbalimbali hususani kukamatwa kwa majambazi pamoja na watu  waliokuwa wanatumia madawa ya kulevya  pamoja na mirungi ,Bangi  funguo zinazotumiwa na wezi

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu