Friday, November 4, 2016

CHAKALE DHAHABU TAMASHA LA UTAMADUNI LITAKALO KUTANISHA MAKABILA



Mtaribu wa tamasha la 'Kale ni Dhahabu' ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Seree, Sabina ​Kaphipa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusiana na tamasha la utamaduni litakalowahusisha machifu zaidi ya 100 wa Tanzania. Pamoja nae ni Afisa Masoko, Anael Masasi
Mtaribu wa tamasha la 'Kale ni Dhahabu' ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Seree, Sabina ​Kaphipa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusiana na tamasha la utamaduni litakalowahusisha machifu zaidi ya 100 wa Tanzania. Pamoja nae ni Afisa Masoko, Anael Masasi (kushoto) na Msemaji wa Tamasha hilo, Juma Mwajacho (kulia) pamoja na Mke wa Chief.
Mtaribu wa tamasha la Kale ni Dhahabu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Seree, Sabina Maro akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu tamasha la utamaduni litakalowahusisha machifu zaidi ya 100 wa Tanzania.
 Logo ya tamasha
Kampuni inayoandaa tamasha.
 Sabina Kaphipa akicheza ngoma na wasanii wa Kundi la sanaa Makumbusho. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI.


Mtaribu wa tamasha la 'Kale ni Dhahabu' ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Seree, Sabina ​Kaphipa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusiana na tamasha la utamaduni litakalowahusisha machifu zaidi ya 100 wa Tanzania. Pamoja nae ni Afisa Masoko, Anael Masasi (kushoto) na Msemaji wa Tamasha hilo, Juma Mwajacho (kulia)

 Juma Mwajasho ambaye ni msemaji wa tamasha hilo (kulia) akizungumza.


Mtaribu wa tamasha la 'Kale ni Dhahabu' ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Seree, Sabina ​Kaphipa akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusiana na tamasha la utamaduni litakalowahusisha machifu zaidi ya 100 wa Tanzania. Pamoja nae ni Afisa Masoko, Anael Masasi.

 ***************
SEREEE Company Inayo furaha kuandaaa Tamamsha la kiutamaduni wa Mtanzania linaloitwa CHAKALE DHAHABU, kwa lengo  kuu la kudumisha tamaduni zetu na kufanya jamii ya Kitanzania kuishi kwa kufurahia utamaduni wake.


SEREEE Company  inaandaa tamasha la kwanza la CHAKALE DHAHABU ambalo litafanyika  katika jiji la Dar es salaam, litakua ni tamasha la siku nzima ambalo litafanyka katika viwanya vya Uhuru( Uwanja wa Taifa  tarehe 3 December na kufuatiwa na tukio jingine siku ya tarehe 4 december ambapo kutakua na chakula cha jioni katika hoteli ya Golden Tulip Dar es salaam.

CHAKALE DHAHABU inalengo la kuwa ni tamasha ambalo litakua likifanyika kila mwaka likizunguka katika mikoa tofauti ndani ya nchi ya Tanzania.

CHAKALE DHAHABU ni Tamasha lililo beba utamaduni wa kitanzania ambapo makabila yoye yatashiriki pamoja na machifu wao, Tamamsha litalinda na kuendeleza utamaduni wa mtanzania na Africa kwa ujumla.

Tamasha limegawanyika katika burudani na shughuli mbalimbali za kiasili kama muziki,Ngoma,Chakula,Vinywaji,Mashairi,Hadithi,Matambiko pamoja na maonyesho ya bidhaa mbalimbali za kiasili. Zinazotengenezwa hapa Tanzania.

Seree Company ni kampuni ya Kitanzania inayokua haraka katika nyanja  ya juandaa na kusimamia  burudani na Matamasha kwa mfano, Harusi,Sherehe za kifamilia,Sherehe za makampuni, na sherehe za Kiserikali. Dira yetu ni kuwaunganisha pamoja wazee,vijana na wazazi katika nyanja ya sanaa na utamaduni wetu ambao kwa namna moja au nyingine unaendelea kufifia.

Tamasha litafanyika kwa monyesho kama ifuatavyo

MACHIFU
Machifu hawa ni viongozi wa kimila ambao ndio chimbuko la utamaduni wa Mtanzania  walikuwepo kabla tawaza za kiserikali kuwepo  walisimamia na kuziendesha koo pamoja makabila, nafasi ya machifu katika tamasha la CHAKALE DHAHABU ni kutoa elimu kwa jamii kuacha kabisa tabia ya kuwauwa vikongwe na maalbino pia watatuonyesha jinsi matambiko yalivyokua yakifanyka kwa lengo la kukumbuka na kuielimisha jamii nzima ya watanzania.

BURUDANI
Patakua na Burudani ya muziki wa asili  pamoja na ngoma toka katika makabila tofauti ya Tanzania, pia patakua na hadithi toka kwa wasimulizi mahiri toka hapa Tanzania  pamoja ma mashaishi toka kwa malenga wetu.

VYAKULA
Kutakua na vyakula vya aina tofauti kutoka katika makabila tofauti ya Tanzania.

Sereee campany inatoa shukrani za dhati kwa waandishi wa habari  kwakua  kupitia nyie Tamasha hili litakua na mafanikio .




Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu