Mshindi wa Milioni Mia ya Jiongeze na M-pawa mkazi wa Mwanza
Paulina Kulwa(kulia) akipokea mfano wa hundi yake kutoka kwa Mkuu wa
Kanda ya Ziwa wa Vodacom Tanzania, Ayubu Kalufya(kushoto), kwenye hafla
iliyofanyika jijini Mwanza, akishuhudia katikati ni Mkuu wa kitengo cha Masoko
wa CBA Benki, Solomon Kawiche.
Mshindi wa Milioni Mia kupitia promosheni ya”Jiongeze na
M-pawa”iliyokuwa ikiendeshwa na Vodacom Tanzania, Mkazi wa Mwanza Paulina
Kulwa(katikati) akifurahi baada ya kukabidhiwa mfano wa hundi na Mkuu wa
Vodacom Tanzania Kanda ya Ziwa,Ayubu Kalufya kwenye hafla fupi iliyofanyika
jijini Mwanza jana, kushoto ni Meneja Masoko wa huduma za kifedha wa kampuni
hiyo Noel Mazoya.
Mshindi wa Milioni Mia kupitia promosheni ya Jiongeze na M-pawa
iliyokuwa ikiendeshwa na Vodacom Tanzania,Mkazi wa Mwanza Paulina Kulwa
akifurahi baada ya kupokea mfano wa hundi yake, kwenye hafla iliyofanyika
jijini Mwanza.
0 comments:
Post a Comment