Na
Jacquiline Mrisho – MAELEZO, Dodoma.
Wizara
ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeanzisha mafunzo ya Tiba
Shufaa (Palliative Care Services) kwa watumishi wa Sekta ya Afya ili
kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa wakati kwa wagonjwa wanaohitaji.
Naibu
Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Hamis Kigwangalla ameyathibitisha haya leo mjini
Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mhe. Susan Lyimo aliyehitaji kufahamu juu ya
mikakati ya Serikali katika kuhakikisha huduma ya Tiba Shufaa inaboreshwa hapa
nchini.
Dkt.
Kigwangalla amesema kuwa katika kuhakikisha huduma za tiba shufaa zinapatikana
hapa nchini, hospitali takribani 35 zikiwemo za Rufaa za kanda za Bugando, KCMC
na Mbeya , Hospitali za mikoa pamoja na Hospitali za dini zinatoa huduma hizo.
Ameongeza
kuwa huduma hizo pia zimekuwa zikitolewa majumbani kwa wagonjwa wanaokaa karibu
na maeneo yenye hospitali zinazotoa huduma hizo ambapo watoa huduma za
majumbani husaidia kumfikia mgonjwa moja kwa moja katika maeneo wanayoishi.
“Sera
ya kitaifa ya Tiba Shufaa iliyotolewa Mwezi Juni mwaka huu imeagiza mafunzo
yafanyike ili kuwajengea uwezo watumishi waliopo katika vituo vya afya na
hospitali nchini ili waweze kutoa huduma hiyo” alisisitiza Mhe. Dkt Kigwangalla.
Aidha
Wizara hiyo imeanza kutoa mafunzo hayo kwa kushirikiana na Taasisi ya Saratani
ya Ocean Road, Chama cha Tiba Shufaa pamoja na wadau wengine kwa lengo la
kuhakikisha kunakuwa na watumishi watano katika kila kituo cha afya ambao wana
uwezo wa kutoa tiba hiyo wakijumuisha madaktari, wauguzi, wafamasia pamoja na
maafisa ustawi wa jamii.
Tiba
Shufaa ni huduma inayotolewa kwa wagonjwa walio katika hatua za mwisho za
maisha yao hasa walio na magonjwa yasiyo na uwezekano wa kupona kwa ajili ya
kuwapunguzia maumivu makali wanayoyapata kutokana na magonjwa hayo.
MWISHO.
4x4
MTANANGE WA SIMBA NA PRISONS ULIVYOKUWA MBEYA
Mtanange wa Simba Dhidi ya Tanzania Prison Ulimalizika kwa Kishindo
uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine Jijini Mbeya Ambapo Timu Ya wekundu wa
msimbasi Simba Ilipokea kichapo Cha Goli 2-1 Kutoka kwa wajelajela
Tanzania Prison kama ambavyo Taswira Hapo juu ikionyesha mchezaji wa
Simba Shoto, Jonas Mkude akichuwana Vikali na Salum Kimenya Katika
Mtanange Ulio Malizika Katika Uwanja Wa Sokoine Ikiwa Jamal Mnyate Dk.43
Kipindi cha Kwanza Aliipatia Goli Timu Ya Simba, Huku Victor Hangaya
kutoka Prison alisawazisha na kuongeza bao la Pili kwa Timu Yake Ya
Tanzania Prison Mbeya.
Baadhi ya mashabiki kinazi wa Timu ya Wekundu wa Msimbazi wakiwa Katika
Eneo lao.
Kutoka Shoto Ni Kocha wa Timu ya Simba Joseph Omog akisalimiana na
Kocha Wa Timu ya Prison Abdul Mingange kabla ya Mchezo kuanza..
Jonas Mkude shoto akimtoka mchezaji wa Prison Victor Hangaya.
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
4x4
MTANANGE WA SIMBA NA PRISONS ULIVYOKUWA MBEYA
Mtanange wa Simba Dhidi ya Tanzania Prison Ulimalizika kwa Kishindo
uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine Jijini Mbeya Ambapo Timu Ya wekundu wa
msimbasi Simba Ilipokea kichapo Cha Goli 2-1 Kutoka kwa wajelajela
Tanzania Prison kama ambavyo Taswira Hapo juu ikionyesha mchezaji wa
Simba Shoto, Jonas Mkude akichuwana Vikali na Salum Kimenya Katika
Mtanange Ulio Malizika Katika Uwanja Wa Sokoine Ikiwa Jamal Mnyate Dk.43
Kipindi cha Kwanza Aliipatia Goli Timu Ya Simba, Huku Victor Hangaya
kutoka Prison alisawazisha na kuongeza bao la Pili kwa Timu Yake Ya
Tanzania Prison Mbeya.
Baadhi ya mashabiki kinazi wa Timu ya Wekundu wa Msimbazi wakiwa Katika
Eneo lao.
Kutoka Shoto Ni Kocha wa Timu ya Simba Joseph Omog akisalimiana na
Kocha Wa Timu ya Prison Abdul Mingange kabla ya Mchezo kuanza..
Jonas Mkude shoto akimtoka mchezaji wa Prison Victor Hangaya.
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
4x4
MTANANGE WA SIMBA NA PRISONS ULIVYOKUWA MBEYA
Mtanange wa Simba Dhidi ya Tanzania Prison Ulimalizika kwa Kishindo
uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine Jijini Mbeya Ambapo Timu Ya wekundu wa
msimbasi Simba Ilipokea kichapo Cha Goli 2-1 Kutoka kwa wajelajela
Tanzania Prison kama ambavyo Taswira Hapo juu ikionyesha mchezaji wa
Simba Shoto, Jonas Mkude akichuwana Vikali na Salum Kimenya Katika
Mtanange Ulio Malizika Katika Uwanja Wa Sokoine Ikiwa Jamal Mnyate Dk.43
Kipindi cha Kwanza Aliipatia Goli Timu Ya Simba, Huku Victor Hangaya
kutoka Prison alisawazisha na kuongeza bao la Pili kwa Timu Yake Ya
Tanzania Prison Mbeya.
Baadhi ya mashabiki kinazi wa Timu ya Wekundu wa Msimbazi wakiwa Katika
Eneo lao.
Kutoka Shoto Ni Kocha wa Timu ya Simba Joseph Omog akisalimiana na
Kocha Wa Timu ya Prison Abdul Mingange kabla ya Mchezo kuanza..
Jonas Mkude shoto akimtoka mchezaji wa Prison Victor Hangaya.
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
0 comments:
Post a Comment