Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson (kulia), wa timu ya Bunge akidaka
mpira ulioelekezwa golini kwake walipocheza na timu ya Wilaya ya Chato
katika mchezo wa kirafiki wa netiboli uliofanyika hivi karibuni kwenye
Uwanja wa Jamhuri Dodoma. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Home »Unlabelled »
Thursday, November 10, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment