Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Ngomeni
shehia ya Mgelema wakati alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya
Kuyuni-Ngomeni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba, alipofanya katika
ziara ya kutembelea ujenzi wa Barabara hiyo Novemba 7, 2016. (PICHA
NA IKULU YA ZANZIBAR)
Baadhi
ya Wananchi wa Kijiji cha Ngomeni shehia ya Mgelema wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa
akiwasalimia Wananchi wakati alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya
Kuyuni-Ngomeni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba alipofanya ziara ya
kutembelea ujenzi wa Barabara hiyo
Afisa
Mdhamini wa Wizara ya Afya Nd,Bakari Ali Bakari akitoa ufafanuzui wa utoaji wa
huduma kwa Wananchi wa Kijiji cha Ngomeni shehia ya Mgelema wakati Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipofika
Kijijini hapo pamoja na kuwasalimia Wananchi wakati alipotembelea Ujenzi wa
Barabara ya Kuyuni-Ngomeni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba
alipofanya ziara ya kutembelea ujenzi wa Barabara hiyo
0 comments:
Post a Comment