Wadau naomba msaada wenu kusambaza hii link
Happy New Year
Siku ya Alhamis tarehe 29/12
Bw. Wasia Maya kutoka mjini Houston , Texas aliamua kuachana na kambi ya makapera na kufunga ndoa na
Bi. Laila Martin. Harusi
hiyo ilifanyika nyumbani kwa Bw. Wasia na kuhudhuriwa na Watanzania
wengi waishio katika jiji la Houston na miji ya jirani. Ijumaa ya tarehe
30/12 kulifanyika Nikka Dinner katika ukumbi wa Pakwan uliopo kwenye
makutano ya barabara za HW6 na Beechnut . Pata picha za Harusi na Nikka
Dinner hapa chini
|
Bw. Wasia na Bi. Laila siku ya ndoa yao |
|
Maharusi wakiwa na sura za furaha |
|
Bw. Wasia na mkewe Bi. Laila |
|
Bibi Harusi Bi. Laila |
|
Bw. Wasia |
|
Bi. Laila |
0 comments:
Post a Comment