Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) wakiwa
katika gwaride maalum wakati wa Sherehe za Mahfali ya 14 yaliyofanyika
leo Desemba 7, 2016, Tunguu Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja ambapo mgeni
rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali
Mohamed Shein. (PICHA NA IKULU YA
ZANZIBAR)
Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) wakiwa katika
gwaride maalum wakati wa Sherehe za Mahfali ya kumi na nne (14)
yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi
alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein
Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (zanzibar University) wakiwa katika
gwaride maalum wakati wa Sherehe za Mahfali ya kumi na nne (14)
yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi
alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,
Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) wakiwa katika
gwaride maalum wakati wa Sherehe za Mahfali ya kumi na nne (14)
yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi
alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (katikatI) na Viongozi wa Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) na
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma (kushoto) wakisimama
wakati Wimbo wa Taifa ukipigwa katika Sherehe za Mahfali ya kumi na nne
(14) yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja
Walimu wa Chuo Kikuu cha
Tunguu (zanzibar University) wakiwa katika gwaride maalum wakati wa Sherehe za
Mahfali ya kumi na nne (14) yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa
wa Kusini Unguja,mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Walimu wa Chuo Kikuu cha Tunguu (zanzibar University) wakiwa katika
gwaride maalum wakati wa Sherehe za Mahfali ya kumi na nne (14)
yaliyofanyika leo Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi
alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein
0 comments:
Post a Comment