Bw. Lawrence Mafuru, aliyekuwa Msajili
wa Hazina ambaye jioni hii, Rais John Pombe Magufuli, kupitia kurugenzi
ya mawasiliano ya Rais, Ikulu, leo Desemba 7, 2016 amemuondoa kwenye
wadhifa huo na atampangia kazi nyingine, nafasi yake imechukuliwa na
Dkt. Osward Mashindano. Wakati huo huo, Rais Magufuli amemteua Msemaji
wa CCM, Christopher Ole Sendeka kuwa Mkuu wa mkoa wa Njombe, na
kumuhamisha aliyekuwa mkuu wa mkoa huo Dk. Rehema Nchimbi, kwenda mkoani
Singida. Aidha Rais amefanya mabadiliko kadhaa ya makatibu wakuu,
taarifa kamili inapatikana hapo chini.
Home »Unlabelled »
Thursday, December 8, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment