Monday, December 12, 2016

TUZO ZA MUZIKI NA FILAMU ZA EATV 2016 JIJINI DAR

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo Flava, Ally Kiba aambaye aliyenyakua tuzo tatu, akitoa shukrani zake.

Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Nandi Mwiyombella(kulia) akimkabidhi mwanamuziki Ali Kiba Tuzo ya Video bora ya mwaka 2016 katika hafla ya tuzo za EATV Afrika zilizofanyika jana usiku Mlimani City jijini Dar es Salaam na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akitoa tuzo ya heshima kwa Bw. Bonny Kilosa(Dj Bonny Love) kwa machango wake katika tasnia ya muziki nchini katika hafla ya utoaji tuzo kwa wanamuziki na wasanii wa Filamu(EATV Awards 2016) zilizofanyika Desemba 10, 2016 Jijini Dar es Salaam.




Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye  ambaye alikuwa mgeni rasmi katika tuzo za EATV akibadilishana mawazo na Afisa a Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Ashutosh Tiwary(kulia)na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa kampuni hiyo,Nandi Mwiyombella wakati wa hafla ya utoaji wa tuzo hizo zilizofanyika jana usiku katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam kwa udhamini wa Vodacom Tanzania.Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Nandi



Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwa kwenye hafla ya tuzo za EATVAfrika zilizofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.




 Mgeni Rasmi, Waziri Nape, na Mkurugenzi wa EATV/RADIO, Regina Mengi (watatu kulia), na maafisa wa serikali wakifuatilia tuzo hizo


Mwakilishi wa Bodi ya Filamu Tanzania Bw. Romanus Tairo akitoa tuzo kwa mshindi wa Filamu Bora ya Mwaka ya Safari ya Gwalu Bw. Gabo Zigamba.

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu