Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Sheikh Mkuu na Mufti
wa Tanzania, Alhaj Abukary Zubeiry Bin Ally baada ya kuwasili Shelui
mkoani Singida kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Maulid Desemba 12, 2016.
Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi. (PICHA NA OFISI YA
WAZIRI MKUU)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Baraza la Maulid
lililofanyika kitaifa, Shelui, Singida Desemba 12, 2016
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba akizungumza katika Baraza
la Maulid lililofanyika Shelui mkoani Singida ambapo mgeni rasmi alikuwa
ni Waziri Mkuu, Kassim Majalaiwa , Desemba 12, 2016
Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Alhaj Abubakary
Zubeiry bin Ally akizungumza katika Baraza la Maulid lililofanyika
kitaifa Shelui mkoani Singida na mgeni rasmi alikuwa ni Waziri Mkuu, Kassim
Majliwa
Baadhi ya washiriki wa Baraza la Maulid wakimsikiliza Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa wakati alipohutubia Baraza hilo katika kijiji cha
Shelui mkoani Singida, Desemba 12, 2016
Baadhi ya washiriki wa Baraza la Maulid wakimsikiliza Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa wakati alipohutubia Baraza hilo katika kijiji cha
Shelui mkoani Singida, Desemba 12, 2016
Baadhi ya washiriki wa Baraza la Maulid wakimsikiliza Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa wakati alipohutubia Baraza hilo katika kijiji cha
Shelui mkoani Singida, Desemba 12, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Mambo ya
Ndani, Mwigulu Nchemba baada ya kuwasili Shelui mkoani Singida kuwa
mgeni rasmi katika Baraza la Maulid Desemba 12, 2016. Kulia ni Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, January Makamba. Muungano na Mazingira
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Singida,
Dkt. Rehema Nchimbi baada ya kuwasili Shelui kuwa mgeni rasmi katika
Baraza la Maulid, Desemba 12, 2016
0 comments:
Post a Comment