Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika benchi la kibanda
cha kupigia kiwi (Shoe Shine) pamoja na wakazi wengine wa Chato katika eneo
maarufu kama Stendi za zamani Chato mkoani Geita. Kibanda hicho cha Kiwi ndicho
Rais Dkt. Magufuli alichokuwa akisafishiwa viatu vyake kabla ya kuwa Rais, pia ni sehemu ambayo
alikuwa akipenda kukaa na kubadilishana
mawazo na wakazi wa Chato wakati akiwa mapumzikoni kipindi cha Nyuma.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika benchi la kibanda
cha kupigia kiwi (Shoe Shine) pamoja na wakazi wengine wa Chato katika eneo
maarufu kama Stendi za zamani Chato mkoani Geita. Kibanda hicho cha Kiwi ndicho
Rais Dkt. Magufuli alichokuwa akisafishiwa viatu vyake kabla ya kuwa Rais, pia ni sehemu ambayo
alikuwa akipenda kukaa na kubadilishana
mawazo na wakazi wa Chato wakati akiwa mapumzikoni kipindi cha Nyuma.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia pamoja na wanafunzi wa
Shule ya Msingi Chato mkoani Geita. Shule hiyo ya Msingi Chato ndiyo Rais Dkt.
Magufuli alisoma kuanzia darasa la kwanza mpaka Darasa la Saba. Rais Dkt.
Magufuli amewaasa Wanafunzi hao kusoma kwa bidii kwasababu yeye pia alisoma
shuleni hapo. Picha na Mpigapicha Maalum
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia pamoja na wanafunzi wa
Shule ya Msingi Chato mkoani Geita. Shule hiyo ya Msingi Chato ndiyo Rais Dkt.
Magufuli alisoma kuanzia darasa la kwanza mpaka Darasa la Saba. Rais Dkt.
Magufuli amewaasa Wanafunzi hao kusoma kwa bidii kwasababu yeye pia alisoma
shuleni hapo. Picha na Mpigapicha Maalum
0 comments:
Post a Comment