Mwenyekiti wa kikundi cha 2Seeds cha kijiji cha Tabora
Korogwe Tanga,Asha Rajab(wapili kushoto) akimuonyesha Meneja Ruzuku na
Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald ( kushoto) moja
ya mifuko yenye embe zilizotengenezwa kitalaam na kuhifadhiwa kwenye mifuko
maalumu tayari kwa kuuzwa sokoni,wakati alipotembelea Kikundi hicho hicho hivi
karibuni kujionea maendeleo ya miradi mbalimbali ya ujasiriamali
,ufugaji,kilimo, inayofanywa na kikundi hichokilichofadhiliwa na mfuko wa
kusaidia jamii”Vodacom Tanzania Foundation” kwa kushirikiana na shirika
lisilo la Kiserikali la 2Seeds Network la nchini Marekani.
Wakinamama wa kikundi cha 2Seeds, wa kijiji
cha Tabora Wilaya ya Korogwe Tanga,wakishirikiana na Meneja Ruzuku na
Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation,Sandra Oswald (wapili
kulia) kumenya viazi wakati alipotembelea kikundi hicho hivi karibuni
kujionea maendeleo ya miradi mbalimbali ya ujasiliamali,ufugaji,
Kilimo,inayofanywa na kikundi hicho na kufadhiliwa na mfuko wa kusaidia
jamii”Vodacom Tanzania Foundation” kwa kushirikiana na shirika lisilo la
Kiserikali la 2Seeds Network la nchini Marekani.
Bibi Masoko wa kikundi cha 2 Seeds cha
kijiji cha Tabora Wilaya ya Korogwe Tanga ,Mariam Jecha (wapili kulia)
akimfafanulia jambo hivi karibuni,Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom
Tanzania Foundation, Sandra Oswald (Kushoto) kuhusiana na jiko la kisasa la
kukaangia chips za viazi na mihogo zinazozalishwa na kikundi hicho baada
ya kupata mafunzo ya ujasiliamali kutoka kwenye taasisi isiyo ya
kiserikali ya 2Seeds ya nchini Marekani yenye makazi yake makuu
Wilayani humo, Mradi huo umefadhiliwa na na mfuko wa kusaidia jamii”Vodacom
Tanzania Foundation”
Mratibu wa kikundi cha 2Seeds cha kijiji
cha Tabora Wilaya ya Korogwe Tanga, Moshi Abdallah(kushoto)
akimuonyesha mradi wa kilimo cha mboga Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa
Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald, wakati alipotembelea hivi
karibuni kujionea maendeleo ya miradi mbalimbali ya ujasiriamali
,ufugaji,kilimo, inayofanywa na kikundi hicho kilichofadhiliwa na mfuko
wa kusaidia jamii”Vodacom Tanzania Foundation” kwa kushirikiana na
shirika lisilo la Kiserikali la 2Seeds Network la nchini Marekani.
Moshi Abdallah na Monica Ayubu wa kikundi cha
2Seeds cha kijiji cha Tabora Wilaya ya Korogwe
Tanga,wakimshuhudia Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom
Tanzania Foundation, Sandra Oswald,(kulia) akiangalia ubora wa vyakula
vinavyosindikwa na kikundi hicho, wakati alipotembelea hivi karibuni kujionea
maendeleo ya miradi mbalimbali ya ujasiriamali ,ufugaji,kilimo,
inayofanywa na kikundi hicho kilichofadhiliwa na mfuko wa kusaidia
jamii”Vodacom Tanzania Foundation” kwa kushirikiana na shirika lisilo la
Kiserikali la 2Seeds Network la nchini Marekani.
0 comments:
Post a Comment