Waziri Mkuu Akiwa Viwanja vya Bunge Dodoma leo.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la
Chalinze,Mhe.Ridhiwani Kikwete wakiwa nje ya ukumbi wa Bunge
wakibadilishana mawazo wakati wa mapumziko ya mkutano wa Bunge
unaoendelea Mkoani Dodoma, leo
Mbunge
wa Jimbo la Chalinze Mhe Ridhiwani Kikwete akifurahia jambo wakati
akizungumza na Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa leo wakati
wa mapumziko wakiwa katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Februari 1,
2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment