Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha mfuko wa kubebea mbolea ya kiwanda cha
Minjingu mkoani Manyara wenye maandishi yanayoonyesha kuwa mbolea hiyo
imetengenezwa nchini Kenya. Jambo hilo lilimkera sana Waziri Mkuu na aliuagiza
uongozi wa kiwanda hicho kuandika barua ya kumuaomba radhi Rais John
Pombe Magufuli kwa kitendo hicho. (PICHA
NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Mifuko
ya mbolea ya kiwanda cha Minjingu mkoani Kagera ikiwa na maandishi
yanayoonyesha kuwa mbolea hiyo inazalishwa nchini Kenya. Mifuko hiyo ambayo
ilishuhudiwa na Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa Februari 19, 2017 wakati
alipotembelea kiwanda hicho, ilimkera sana na aliuagiza uongozi wa kiwanda
hicho kumuandikia barua Rais John Pombe Magufuli ya kumuomba radhi
kwa kitendo hicho.
Waziri wa Kilimo , Mifugo na Uvuvi, Dkt. Charles Tizeba akizungumza wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipotembelea kiwanda cha mbolea cha Minjingu mkoani Manyara, Februari 19, 2017.
0 comments:
Post a Comment