Mwenyekiti wa CCM Rais
Dkt John Pombe Magufuli akipena mikono na Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu
Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong Ikulu jijini Dar
es salaam kwa mazungumzo leo Jumatano Machi 22, 2017
Mwenyekiti wa CCM Rais
Dkt John Pombe Magufuli akitambulishwa kwa ujumbe aliofuatana nao Mjumbe wa
Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo
Jinlong Ikulu jijini Dar es salaam Jumatano Machi 22, 2017
Mwenyekiti wa CCM Rais
Dkt John Pombe Magufuli katika mazungumzo na Mjumbe wa Kamati Kuu na
Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong na ujumbe
wake Ikulu jijini Dar es salaam Jumatano Machi 22, 2017
Mwenyekiti wa CCM Rais
Dkt John Pombe Magufuli akiongozana na Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa
Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong Ikulu jijini Dar es
salaam Jumatano Machi 22, 2017
Rais Dkt John Pombe
Magufuli akifurahia wakati Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha
Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong alipokuwa akisalimia viongozi
mbalimbali Ikulu jijini Dar es salaam Jumatano Machi 22, 2017
Mjumbe wa Kamati Kuu na
Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong
akisalimiana na viongozi mbalimbali Ikulu jijini Dar es salaam
Jumatano Machi 22, 2017
Mwenyekiti wa CCM Rais
Dkt John Pombe Magufuli na Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama
cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong wakishuhudia Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest
Rwegasira na Balozi wa China Nchini Tanzania Dkt.Lu Youqing wakitia
saini mkataba moja ya mikata mitatu
Mwenyekiti wa CCM Rais
Dkt John Pombe Magufuli na Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama
cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong
wakishuhudia Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Aziz Mlima na Balozi
wa China Nchini Tanzania Dkt.Lu Youqing wakibadilishana hati baada ya kusaini mkataba
Mwenyekiti wa CCM Rais
Dkt John Pombe Magufuli na Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama
cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong
wakishuhudia na Kamishna mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia
na Kupambana na Dawa za Kulevya Fred Kibuta na Balozi
wa China Nchini Tanzania Dkt.Lu Youqing wakitia saini Mkataba moja kati ya
mikataba mitatu
0 comments:
Post a Comment