Wednesday, March 22, 2017

BOMOA BOMOA KANDO YA RELI YALIKUMBA ENEO LA KURASINI DAR


 Katapila likibomoa majengo ya Baa ya Pentagon  katika oparesheni ya bomoa bomoa nyumba zote zilizojengwa katika hifadhi ya Reli ya Kati eneo la Mivinjeni, Kurasini Dar es Salaam. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG;0754264203
 Makontena ya biashara yakiwa yamefumuliwa na katapila
 Baa ya Pentagoni ikiwa imebomolewa 
 Katapila likiendelea na kazi ya bomoa bomoa

 Baadhi ya wafanyabiashara ndogo ndogo waliokuwa na vibanda vya biashara pamoja na wananchi wakishuhudia ubomoaji huyo
 Askari wakilinda doria wakati wa ubomoaji
Wataalamu wakipima mita 20 kutka kwenye reli ili nyumba na mabanda yaliyo ndani ya hifadhi ya reli zibomlewe kupisha ujenzi wa reli ya kisasa.

PICH ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG;0754264203
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu