Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt
Harrison George Mwakyembe na aliyekuwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na
Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye wakikabidhiana hati za makabidhiano rasmi
ya Ofisi yaliyofanyika katika Ofisi za Wizara Mjini Dodoma.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison George Mwakyembe na
aliyekuwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye
wakitia saini hati za makabidhiano rasmi ya Ofisi yaliyofanyika katika
Ofisi za Wizara Mjini Dodoma akishubudia utiaji wa saini ni Katibu Mkuu wa
Wizara hiyo Prof Elisante Ole Gabriel
(PICHA
ZOTE NA RAYMOND MUSHUMBUSI WHUSM DODOMA).
0 comments:
Post a Comment