Home
»
JAMII
» RAIS MAGUFULI APONGEZWA KWA KUJALI WANYONGE KATIKA HUDUMA ZA AFYA.
RAIS MAGUFULI APONGEZWA KWA KUJALI WANYONGE KATIKA HUDUMA ZA AFYA.
|
Daktari
bingwa wa Upasuaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dkt. Ibrahim Mkoma
akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari kuhusu kuruhusiwa kwa mgonjwa
aliyekuwa anapatiwa matibabu kutokana na majeraha ya kuunguzwa na maji ya moto kifuani,
shingoni na mkononi, Bibi. Neema Mwita maarufu kama mgonjwa wa Magufuli.
Neema alikuwa akipatiwa matibabu katika hospitali hiyo kufuatia msaada wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli baada ya kuguswa na
taarifa za mgonjwa huyo mapema mwezi wa pili mwaka huu hali iliyompelekea
kuchukua jukumu la kumsaidia. Mkuu wa Jengo la Sewahaji Bibi. Salome Mayenga
(kushoto) na Mkuu wa Wodi namba 24 Sewahaji, Muhimbili Bibi. Georgina
Kabaitileki.
|
|
Daktari
bingwa wa Upasuaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dkt. Ibrahim Mkoma
akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari kuhusu kuruhusiwa kwa mgonjwa
aliyekuwa anapatiwa matibabu kutokana na majeraha ya kuunguzwa na maji ya moto kifuani,
shingoni na mkononi, Bibi. Neema Mwita maarufu kama mgonjwa wa Magufuli.
Neema alikuwa akipatiwa matibabu katika hospitali hiyo kufuatia msaada wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli baada ya kuguswa na
taarifa za mgonjwa huyo mapema mwezi wa pili mwaka huu hali iliyompelekea
kuchukua jukumu la kumsaidia.
|
|
Mkazi
wa mkoa wa Mara ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
(MNH) kwa ajili ya matibabu ya upasuaji wa mgonjwa kufuatia majeraha ya kuunguzwa
na maji ya moto kifuani, shingoni na mkononi,Bibi. Neema Mwita akimshukuru
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo
pichani) kwa kitendo chake cha kumfariji na kumsaidia kupata matibabu ya hayo
wakati akiongea na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam. Daktari bingwa wa Upasuaji wa Hospitali ya
Taifa ya Muhimbili (MNH), Dkt. Ibrahim Mkoma.
Picha
na: Frank Shija
|
0 comments:
Post a Comment