Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akifariji Mama Jannet Kahama, Mjane wa
Marehemu, George Kahama wakati alipokwenda kuhani msiba nyumbani kwa
marehemu, Mikocheni jijini Dar es salaam, Machi 17, 2017. Wengine pichani ni
wanafamilia.(PICHA NA OFISI YA WAZIRI
MKUU)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akifariji Mama Jannet Kahama, Mjane wa
Marehemu, George Kahama wakati alipokwenda kuhani msiba nyumbani kwa
marehemu, Mikocheni jijini Dar es salaam, Machi 17, 2017. Wengine pichani ni
wanafamilia.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa
Iran Nchini, Mhe. Mousa Farhang kwenye Makazi yake, Oysterbay jijini Dar es
salaam, Machi 17, 2017. (PICHA NA OFISI
YA WAZIRI MKUU)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Iran Nchini, Mhe. Mousa Farhang
kabla ya mazungumzo yao, kwenye Makazi yake, Oysterbay jijini Dar es salaam,
Machi 17, 2017
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa
Iran Nchini, Mhe. Mousa Farhang kwenye Makazi yake, Oysterbay jijini Dar es
salaam, Machi 17, 2017. (PICHA NA OFISI
YA WAZIRI MKUU)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Iran Nchini, Mhe. Mousa Farhang
kabla ya mazungumzo yao, kwenye Makazi yake, Oysterbay jijini Dar es salaam,
Machi 17, 2017.
0 comments:
Post a Comment