Home
»
JAMII
» YALIYOJIRI BUNGENI LEO MJINI DODOMA.
YALIYOJIRI BUNGENI LEO MJINI DODOMA.
|
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson akiongoza kikao cha pili cha Mkutano wa saba wa
Bunge la 11 Mjini Dodoma.
|
|
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.
Suleimani Jafo akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika kikao cha pili cha Mkutano
wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma.
|
|
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt Ashatu
Kijaji akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika kikao cha pili cha Mkutano wa
saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma. |
|
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Dkt. Medard Kalemani akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika kikao
cha pili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma
|
0 comments:
Post a Comment