Friday, May 5, 2017

WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA WALIVYOSHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI (MEI DEI), UWANJA WA UHURU DAR ES SALAAM PAMOJA NA HAFLA YA KUTUNUKU WAFANYAKAZI HODARI
Aliyekuwa Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta  ambaye anajiandaa kustaafu, Fortunatus Kapinga akizungumza wakati wa kuwatuza wafanyakazi hodari wa shirika. Kushoto ni Kaimu Postamasta Mkuu mpya, Deo Kwiyukwa na kulia ni Meneja wa Fedha, Cyprian Mugemuzi.
Kaimu Postamasta Mkuu mpya wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa akiwa na baadhi ya watendaji washirika hilo, wakiimba wimbo wa wafanyakazi wa mshikamano.  
Mmoja wa wafanyakazi wa shirika la Posta, Zainabu Ukwaju akigogesha glasi na Kaimu Postamasta Mkuu mpya wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa.
Baadhi ya wafanyakazi wa shirika la Posta wakiwa katika hafla ya kuwatunuku wafanyakazi hodari.  
Kaimu Postamasta Mkuu mpya wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa akizungumza wakati wa hafla hiyo. 
Kaimu Postamasta Mkuu mpya wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa akimkabidhi cheti mmoja wa wafanyakazi hodari wa shirika, Arubee Ngaruka  wakati wa hafla hiyo.
Kaimu Postamasta Mkuu mpya wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa akimkabidhi cheti mmoja wa wafanyakazi hodari wa shirika, Christina Chale, wakati wa hafla hiyo. 
Wafanyakazi hodari wa shirika la Posta wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa shirika wakati wa hafla hiyo. 
Wafanyakazi hodari wa shirika la Posta wakiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Postamasta Mkuu mpya wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa wakati wa hafla hiyo. 
Wafanyakazi wa Shirika la Posta wakipita mbele ya mgeni rasmi, Rais mstaafu wa Chama cha Walimu (CWT), Magreth Sitta na mabango wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani (Mei Dei), Uwanja wa Uhuru. 
Wafanyakazi wa Shirika la Posta wakipita mbele ya mgeni rasmi na miavuli wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani (Mei Dei), Uwanja wa Uhuru. 
Wafanyakazi wa Shirika la Posta wakipita mbele ya mgeni rasmi na miavuli wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani (Mei Dei), Uwanja wa Uhuru. 
Wafanyakazi wa Shirika la Posta wakipita mbele ya mgeni rasmi na miavuli wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani (Mei Dei), Uwanja wa Uhuru. 
Wafanyakazi wa usafirishaji vifurushi na barua wakipita na pikipiki, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani (Mei Dei), Uwanja wa Uhuru.
Magari ya kusafirishia vifurushi pamoja na mizigo mingine kwenda kwa wateja wa shirika yakipita mbele ya mgeni rasmi. 
Magari ya kusafirishia vifurushi pamoja na mizigo mingine kwenda kwa wateja wa shirika yakipita mbele ya mgeni rasmi. 
Magari ya kusafirishia vifurushi pamoja na mizigo mingine kwenda kwa wateja wa shirika yakipita mbele ya mgeni rasmi. 
Kaimu Postamasta Mkuu mpya wa Shirika la Posta, Deo Kwiyukwa akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuwatunuku wafanyakazi hodari wa shirika.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu