Home »Unlabelled » MAMA JANETH MAGUFULI ATOA VYAKULA KWA VITUO NANE VYA KULELEA WATOTO YATIMA
Tuesday, June 20, 2017
MAMA JANETH MAGUFULI ATOA VYAKULA KWA VITUO NANE VYA KULELEA WATOTO YATIMA
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimiana na viongozi wa vituo nane vya
kulelea yatima na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kabla ya
kuwakabidhi vyakula kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani pamoja na
sikukuu ya Eid el Fitr Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 20, 2017.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimiana na viongozi wa vituo nane vya
kulelea yatima na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kabla ya
kuwakabidhi vyakula kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani pamoja na
sikukuu ya Eid el Fitr Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 20, 2017.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimiana na viongozi wa vituo nane vya
kulelea yatima na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kabla ya
kuwakabidhi vyakula kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani pamoja na
sikukuu ya Eid el Fitr Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 20, 2017.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akimkabidhi Hajat Mwanaisha Magambo mkuu
wa kituo cha New Life Orphanage cha Boko Dawasco kwa niaba ya viongozi
wa vituo nane vya kulelea yatima na watoto wanaoishi kwenye mazingira
magumu waliopewa vyakula kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani pamoja
na sikukuu ya Eid el Fitr na Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli Ikulu
jijini Dar es salaam leo Juni 20, 2017. Vituo vilivyopkea vyakula hivyo
ni pamoja na New Life kilichopo Boko Dawasco chanye watoto 121,
Charambe Islamic kilichopo Charambe (watoto 54), Mwandaliwa Centre
kilichopo Mbweni (watoto 94) Al Madina Children Home cha Tandale (
watoto 65), Ijangozaidia Orphanage Centre kilichopo Sinza (watoto 1030,
Azam Orphanage kilichopo Mbagala (watoto 51), Hiari Orphanage kilichopo
Chang'ombe (watoto41) na CHAKUWAMA (watoto 64) kilichopo Sinza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment